@alexandermpinduly45195 years agoamen unanitoa ujinga kabisa Mungu akubariki 14
@
@hashkhantantrasiraji1184 years agoPumzika kwa Amani mafundisho yako yatadumu milele Elimu kubwa na Bora umeiacha Dunian, RIP MITIMINGI 😭 3
@
@somicotv30005 years agoNimemfuatilia sna huyu mchungaji, ana mawaidha madhuri sana, lakini anapaswa kuwa tu mshauri au mwanasaikolojia kusaidia watu kuliko kujiita mchungaji, maana ana injili ya kuoa na kuoaana ambao si Ufalme wa Mungu, ni mtaalamu tu mambo ya kijamii. Ukristo, kazi ipo. ...7
@
@fidelismukandara9325 years agoNakupenda sana mshaurii wangu!!! Mungu akubarikii 8
@
@shigongodaniel-uz3vz9 months agoNapenda sana mafundisho yako mchungajiji
@
@tupokesanga21232 years agoAsanteee mwalimu nimeelewaa. Endelea kusema tuponee baba
@
@christinarobert92075 years agoAisee mchungaji ujumbe huu umeungusa sana moyo wangu km vile ulijua kilicho ndani yangu mwenyez mungu akubarik sana 7
@
@pendondossy21584 years agoEti imebaki story imebaki kukuangali tu jmn r.I.p dady 11
@
@liliankapaya80175 years agoSomo nzuri sana Mungu akubariki kwa mafundisho yako mazuri na barikiwa sans 2
@
@mathayowilson15254 years agoDunia unapoteza vitu vya thamani, IPO SIKU ktk KRISTO mfalme tutakuja kuwaona mashujaa wote tangu Henoko, rip Dr Peter Mitimingi 1
@
@josephbunzari58304 years agoMtumishi ananijenga Sana kiubongo ubalikiwe sana 1
@
@joycejumaa71815 years agoMupenda mafundisho hupenda marifa nimekarikiwa Sana na mungu azidi kukutumia ili utufundishe Amina sana 4
@
@happymeshack48904 years ago😪😪😪😪😪😪 mungu akupmzishe salama baba 😭😭😭😭 tutayapata wp haya mafundsh tna 2
@
@tfsnothzonesame62826 years agoMungu akubariki Mtumishi wa kutufundisha yaliyo kweli ni wachimgaji wachachesana wanaosema ukweli 1
@
@khasoaprosper375 years agoCha muno ni kwamba.. Ndoa na Yesu lipi mwanzo. Mafunzo mazuri mtumishi
@
@alicejohn23706 years agoMan of God Dr Mitimingi Mungu azidi kukuinua maisha marefu yawe juu yako Dady.
@
@evanskatunzi67296 years agoHuyu baba nimeanza kumfatiliaa mda c mrefu aiseee anazungumzaa kitu ambacho kipo kwa cc vijana mahusiano mabovu yanatuharibiaa sana future aiseee mungu akubariki sana mzee 54
@
@kijanamwepesi69972 years agoMm muislam ila huyu mwalimu kiboko anamafunzo mazuri yakuelimisha kila dini alizo zitaja
@
@joycebilauri83036 years agoInjili kamili isiyochakachuliwa namshukuru Mungu kwa kuachilia baraka ya pastor of such kind maana nachoamn ndoa ni kama baseline ya kila kitu hapa chini ya jua maana ofcn darasan, kazini, Huduma na utumishi na vitu vyote pacpo stable ndoa hapana kitakacho stawi. Barikiwa sana kwa utumishi aminifu ...3
@
@angelomedard5 years agothanks father MUNGU akuongoze uendelee kubusti akili zetu vijana 3
@
@lilianurio97816 years agojaman, god bless you, niko very stressed lakini nimefarijika kwa ujumbe huu 25
@
@hamidakassim44 years ago💯💯💯💯💯🇹🇿🇹🇿🇹🇿ukwelii kabsaaaaa Mtumishiiiii 👏👏👏👏👏👏
@
@baranmohamedmbashir52994 years agoInalila wainalilahi rajiun pole sana ndungu zetu mungu amuake pema penye wema peponi inshallah
@
@salmaluhombero98094 years agoOf course nyingi hakufai kweli Rest in peace kaka nimeona kwa macho yangu mwanaume wa hivyo 3
@
@victoriachesco28336 years agoMungu akubariki najua mungu amekutumia leo kwangu kunifungua 1
@
@greygoryhenry19692 years agoR.I.P, Mungu Akupokee Bado tutaenzi Mafundisho Yako
@
@florabenjamin67944 years agoNapenda sana maubili yako mungu akupumzishe kwamani jamani
@
@maduhucodejb32146 years agoNapenda kusikiliza mafundisho yako kwani najifunza mengi. Mungu alikuleta kwa lengo maarumu Ahsante sana Mungu akupe maisha malefu 1
@
@stellamoss85735 years agoubalikiwe mtumishi wa mungu ujumbe mzuri 1
@
@catenzeki6785 years agoKasema kweli kuhusu swala la dini ,mi nko na dadangu mkubwa aliolewa na mtu muislamu na yy akakataa kuslimu.Watoto wakawa wanaenda madrasa lkni baadae wakatengana ikabidi watoto waanze kwenda kanisani...amini usiamini watoto walichanganyikiwa vbaya ilitek tym wao kucope na mambo ya kanisani.Swala la dini ni kwli ...1
@
@elizabethmwandu69376 years agoHakika mafundisho yako napenda kuyafuatilia sana. Ubarikiwe sana kwa mafundisho yako mazuri. 10
@
@precs_jones5 years agoKweli kabisa mch. Ubarikiwe sana 3
@
@devotaagustino62215 years agobarikiwa Sana mtumish nabarikiwa na mafundisho yako yan naamini ntatoka vizur 1
@
@goodluckmoshi55444 years agoYesu wa mission town hapa nimekupata sana 1
@
@monicakivuyo11975 years agoNakukubali sana barikiwa Mtumishi wa Mungu
@
@rechoyusuph65066 years agothanks kwa mafundisho mungu axid kukuinua
@
@yusuphmussa65895 years agomchungaji umenikuna. kuna mwanamke nilikuwa nae ktk mahusiano kwamiaka miwili. ikafka nataka kumuoa rakini Maisha yangu wakati uwo magumu. akanipa pesa laki Saba niende kwao kulipa mahali.lakini Mimi nilimpa pesa yake kwani niliikataa kwasabu takuwa nimeolewa...leo nauwezo ata wakulipa mahali mwenyewe nashika pesa anitaki.mpaka aolewa nakijana ambae kamlipia mahali. ...1
@
@henrykinga14846 years agoPastor nakwamin sana naamin umetufundisha ktu 1
@
@frankmosha58546 years agoyes mtumishi wa mungu unasaidia mabilion ya watu ubarikiwe
@
@tatianakyungu53054 years ago😢😭 oh s était un homme de DIEU que j apprécié bcp
@
@kalengemochi1104 years agoKwa nn watu kama hawa hawakawii kufa da;; mungu aiweke mahali pema roho ya mch
@
@janethmwangasa10817 years agomungu akubariki kwa mafundisho mazuriiiii 1
@
@cattyrichard17146 years agomchungaji ubarikiwee cn kwa mahubir yanayotubadilisha 1
@
@robsonebenedicto54245 years agoWengine wanataka kujua uko umbali gani Na wazazi 7
@
@NeroForte_3 years agoHayo mafundisho video hii inapoishhia naweza kuyapata wapi full.?
@
@mauaiddy70336 years agoAsante baba umenifungua sana lakn nmecheka sna umenifurahsha 1
@
@marthagodson44474 years agoWe will miss u aisee hizi nondo tutazipata WAP tena 2
@
@hasinatilafaeli6165 years agoNdio naanza kukufatilia mungu akubaliki 1
@
@magulumakenzi53425 years agoChangamoto ni tamaduni zingine kijana kujitegemea mpaka aoe. 3
@
@gracekayunga48026 years agoNashukuru sana Kwa mafundisho mazur ubarikiwa
@
@samueljr91055 years agoKunywa soda mchungaji nitumie pay bill vijana amkeni 5
@
@furahaema60006 years agona barikiwa na mafundisho yako ubarikiwe sana mutumishi wa Mungu
@
@marthamwasubila47736 years agoTunashkuru mtumishi kwa mafundisho mazuri. 1
@
@HiHello-gc7lt2 years agoAmen mchugaji,,,,,humeongea hukweli kabisa
@
@joshuaandrew3864 years agoNikikupenda Sana my Dad ila da!! MUNGU alikupenda na hadi kukuchukua mmh kibinadam inauma Sana umetuachia maumivu pengo lisilozibika kwa nafasi yako
@
@neemamaganga97743 years agoIngawa ulitutoka ila injiri yako inaishi kwetu
@
@sharifachacha9785 years agoHahahahahahahahahaaaaa eti mungu atanishangaa 1
@
@farajakigula36286 years agoMtumishi Sema vijana tupone yanapenyaaaa Sana asiye kuelewa ni yule alie kufa 8
Related videos for MITIMINGI 270 DALILI ZA KUMJUA MCHUMBA ASIYEKUFAA KATIKA NDOA:
Mungu alikuleta kwa lengo maarumu Ahsante sana Mungu akupe maisha malefu 1
Ubarikiwe sana 3
hapa nimekupata sana 1