HISTORIA YA CHIFU MKWAWA / WAZUNGU WANAYOIFICHA!
Wahehe walimuita Mkwawa mtwa, waswahili wakamuita mfalme, Unyanyembe wakamuita mtemi, waha wakamuita Mwami na shuleni tukamuita Chifu Mkwawa, mwanaume pekee aliyewanyoa nywele wazungu bila maji.
Huyu mwanaume kiboko ya Wajerumani ni uzao wa yule jiniazi kutoka nchi ya Uhabeshi, Ethiopia ya leo, aliyefika katika ufalme wa Mwamududa miaka 1700 akiwa na teknolojia ya kuwinda kwa mbwa.
#CHIFUMKWAWA
/playlist?list ... /watch/f-X1N-1 ... Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram:
www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho
@venstonvedasto5 years agoAnastahili views milioni mm mkwawa nmemuelewa leo tangu nimalize form 4. 196
@
@bonifacechengula61172 years agoBrilliant narrator, you are so eloquent that i love listening to your story. 5
@
@shabanikamsawa4244 years agoJamaa bora awe mwalimu wa history anae kubaliana na mm. Gonga like hapa tujuane. 28
@
@andrewshustle13314 months ago2024 niko hapa tena kurudia kuiskiliza hii historia adhimu ya chief mkwawa. 2
@
@djatm13195 years agoNapenda sana vile huyu jamaa husoma historia. Nikiwa hapa nairobi/kenya. 138
@
@abdallahhamad44995 years agoKama ungependa hii story waifanyie movie kama mimi ninavyotamani gonga like. 18
@
@victorsimfukwe53094 years agoTunashukuru kwa taarifa zenu nzuli hakika tunaelimika na kufahamu histor mbali. 3
@
@owinochris98863 years agoMpagaze & edga mubarikiwe sana kwaku elemisha ulimwengu nawapenda sana, 1
@
@maijayahaya37705 years agoKusoma kwangu koote adi form 4 leo ndio nimeelewa hii story, hongera bro. 39
@
@mbwanarajab72385 years agoHawa ndio wangetakiwa kuongoza nchi kwa kuihangaikia sana nchi hii. 6
@
@jameschumbula73513 years agoAfrika mashariki muhehe ndio kabila lakwaza kuvaa nguo. Asantee sana kutujuza kaka pamoja sana. 3
@
@sheldonmbakaya5 years agoNikiwa shuleni historia haikunishika, sasa hivi nashika historia na kuielewa vyema kwa lugha mufti ya kiswahili na global tv nakushukuru ananias mpagaze. 4
@
@mpogoletv.59665 years agoNamkubali sana mkwawa na uwa sichoki kutembelea fuvu na makazi yake kule karenga. 2
@
@marymichelle62805 years agoHongera sana mtoa historia, napenda sana vile unasoma historia. Unafundisha na kueleweka. Safi. 38
@
@duniacafe4 years agoKamwene! Ndimno fuela. Kaka, nakushukuruziada yashule ya msingi forodhani. Naomba uendelee na utafiti wako na kuandika ya watemi wote. Itapendeza pia ukifanya video ya mangi meli, isiki, rumanyika wa karagwe, mirambo, nk. Na methalizilinoga kweli. ...Expand5
@
@jimmyandrew38835 years agoIm proud to be hehe na mama yangu ni semduda uzao ulee. 24
@
@innocentmmbando54845 years agoKaka hongera kwa simuliz maridhawa. naomba siku moja utupe simulizi ya mangi wa wachaga! 52
@
@kacherosimba57624 years agoDah naomba mzee baba utoe cdii yaniitakua poasana. 1
@
@bakariluhala73325 years agoAsante kutupatia kitu kizuri kama hiki. 11
@
@FamSalome5 years agoGlobal tv kuna historia kadhaa natamani mgeziweka tukazisikia, historia ya mwalimu nyerere, kenyatta, joseph kony, mauji ya kimbari rwanda. Waiyaki wa. ...Expand28
@
@saddybrezzy977711 months agoAnanias edgar ni best historical ever.
@
@ahmadkafashe74275 years agoBro unaipenda kwel kaz yako. Mungu akuongoze kwa kila jambo la hery. Unafanunua kwel na kama ungekuw mwalim wng bas ningekuw wa kufaulu maan nakuelewa vzr. 30
@
@fubanjenjele5215 years agoResistance against the imposition of colonial rule small scale resistance# mtwa mkwawa. 16
@
@johnsylivester84125 years agoWe jamaa nakupenda sana wewe, hd sauti yako. Tuletee watemi na machifu wa singida. 4
@
@juliethhouseofdesigns1474 years agoAnanias unavyosimulia utadhani alikuwepo hongera sana aisee. Apo kwa wapelelezi kula nyama ya mbwa. 2
@
@georgenagabona2035 years agoUpo vizuri nipe story ya lucky dube kwa ndani zaidi. 13
@
@gosbertrwezahura36453 years agoMkuu sijui tukushukuruje. Wewe ni chuma katika historia. Tunaomba mtuandikie historia yetukwenye shule zetu na vyuo vyetu tuachane na hizi historia za kusifia wazungu akina livingstone na karl peters na kujiona wanyonge. Serikali inabidi iwatumie vizuri ili mtusaidie tufahamu historia yetu. ...Expand4
@
@isackhassan65515 years agoElimu ya wazungu kwa wa-afrika is a system of misseducation us as afrikan, wanajua historia yetu kuliko tunavoijua. 6
@
@UzalendoNaUtu5 years agoBrother mi ni muhehe na ninaijua vizuri historia yetu ila nmeirudia kuiskiliza kwa sababu ya usimuliaji wako mzuri, big up! Mungu akuinue katika kazi zako. 4
@
@joshualwelu73024 years agoWazungu kazi walionyeshwa. Big up kwa wazawa wetu waliokuwa na msimamo. 2
@
@manyandatimoth75 years agoMsukuma chapa ya ng' 0mbe. Dah umejua kunifurahisha. 26
@
@sportstanzaniatvonline5 years agoDa! Broo mgejaribu kuwa mnatoa cd tunazinunua mnauza hata cd moja ina stori mbili 20 ingekuwa vizuri sana. 31
@
@allythabiti81505 years agoItabid tuandike historia yetu, sio tunasoma historia iliyoandikwa na watu sio sisi. 23
@
@mpendakiswahili30533 years agoNaskia raha sana, historia kutolewa kwakutoka kenya.
@
@mukikibati35194 years agoSimulizi kali sana muhimu kusikiliza asante.
@
@tinawilliam49615 years agoAsante kaka nilikua sielewi chochote kuhusu mkwawa. 5
@
@allythabiti81505 years agoSikuzi cjuui kwann hawazaliwi vijana jasir kama wa zamani aise, mkwawa namuelewa saana. Huyu jama ni hatari. 16
@
@jumamdoe51235 years agoStory zako zipo vizur sana kaka toka nianze kusikiaga story ya gadafi mpaka sasa napenda sana voice ad simulz zako big up. 29
@
@lilianluhasi3115 years agoHapo inaonyesha uhehe ulitokana na mchanganyiko wa uzao wa mswimi toka uaveshi na wazawa waliowakuta, hivyo hizo koo zaidi 100 za mchanganyiko huo ndiyo. ...Expand21
@
@saidmosh26955 years agoHongera sana mjomba unatupa chakula cha ubongo cc tucyeyajua haya. 1
@
@marcelmlacha85965 years agoUmeisimilia vizuri endelea na kazi. 3
@
@zawadigwimile26375 years agoDa leo nimeelewa asili ya waburishi wa rujewa asante mkuu. 12
@
@shabanbuchu21305 years agoNingependa kuona library yako ya vitabu. Kwa akili hii nahisi husomi pumba. 41
@
@denismugendi10345 years agoKaka uko sawa tena makini sana, historia ya afrrika inaniingia zaidi ya kipindi kile nikiwa shule, nashukuru. 4
@
@masaulihassan24635 years agoNajivunia kupata historia kwa simulizi baada ya ile ya shule yaglabal tv. 1
@
@fineskilatu54325 years agoNapenda saut yako mtangazaj yaan mtu unajikuta unataman uendelee kusikiliza. 1
@
@ngenzisaid49585 years agoNyama ya mbwa dah ngoja nitafute hiyo nyama na dawa yake ninuse watu this is iringa brother waheh tupige like. 10
@
@jasirimkombozi49265 years agoNatamani simulizi hii ingekuwa movie fulani hivi. 84
@
@nzisakasau82345 years agoSimulizi nzuri sana inazidikuwa tamu kwa ajili ya sauti ya edgar mpangaze kazi safi.
@
@nyavaelly54505 years agoHistoria nzur sana msoma historia upo vzr. 1
@
@JohnKitime20152 years agoChumvi nyingi mno. Wasiojua watafurahia sana.
@
@matitu_jr50355 years agoLeo hii kuwa kiongozi tanzania si elimu wala ushujaa bali ukiijua ilani ya ccm umepita. 41
@
@starwayafricatv50175 years agoAsante sana glob tv. Maana mkotupeleka sipabaya kbs. Hendeleni kutujuza kbs. Asanteni sana.
@
@zamdakimaro29734 years agoMimi bwana acha tu hii chanel inanikoshaga sana. 1
@
@linkreuben58045 years agoYesu anaweza yote. Uko vizuri kaka, huu ndo muda wetu tanzania. 2
kama mimi ninavyotamani gonga like. 18
nakushukuru ananias mpagaze. 4
naomba siku moja utupe simulizi ya mangi wa wachaga! 52
small scale resistance# mtwa mkwawa. 16
mkwawa namuelewa saana. Huyu jama ni hatari. 16
big up. 29
endelea na kazi. 3