@makiwilson23224 years agoRingishia mama ulipata shida miaka ya nyuma. 14
@
@muhammadmahmoud10684 years agoNajiuliza ivi yule mze abdul jinc anavyoteseka km hana watoto +974. 6
@
@aishaally27304 years agoHaya yote ni mapambo ya dunia usijisahau mama kutengeneza akhera walikuwa kina miko jackson nawameacha usijisahau mama. 11
@
@niggaBoySnowman4 years agoMbona hakuna hata gari la kutisha hapo? Zote kawaida kbs. 5
@
@hallin95614 years agoUmasikini sio tiketi ya kutupeleka mbinguni. Maisha ndio aya. Mungu ametubariki milki zote. 1
@
@mahsneermohammed21074 years agoSio furaha unakula ww tu mtoto hata mzazi anatakiwa awekwa furaha sabab yuko hai salute kwako simba babalao daima mfano wako hakuna kwa wasanii unajali furaha ya mama+254. 1
@
@mussaabobakar75374 years agoSs tayr suma limited wa zanzibar tushamzika huku tena watu sita tu kazikwa tujarbu kujitengezea akhera zetu uko kaburin tuendapo. 7
@
@lindabalinda34474 years agoAmum who interferes with his sons relationship, are u going to get married to him, give him space.
@
@user-os9ul5iu5y4 years agoNivyadunia batafute akhella ndopazuri zayidi.
@
@aishayussuf34204 years agoHivyo ni vya dunian tu amejiandaa vipi kuja kukutana na mola wake au atamtumbuiza kwa nyimbo pesa na magari.
@
@famitonawanda48314 years agoNikiwaangalia hawa wamama, wenye watoto mastaa, huwa namuurumia sana mama kanumba, hivi anajisikiaje yule mama, kwa mfano? Jamani hizo ni filings za karanini. 12
@
@moffatoobiero61084 years agoThiefi wewe hujaonyesha what you' ve been talking about. 1
@
@happyeugen4684 years agoMama tamba lakini kaburini kwetu sote zote hizo zitabaki duniani. 4
@
@aminachaulaya2784 years agoGari la mwisho jeneza nyumba ya mwisho kaburi wote tunalala chini.
@
@achawanunetv11674 years agoSimba ni mpangaji kwenye uyo mjengo msitaki kuwadanganya watu. 2
@
@salumsimba60644 years agoUko sku mtakufa na mtayaacha hayo majumba.
Related videos for MAMA DANGOTE AONESHA NYUMBA YA KIFAHARI PAMOJA NA MAGARI YA DIAMOND PLATNUMZ: